ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, February 8, 2012

SAMAKI MKUBWA KATIKA BANDARI YA KARACHI, NCHINI PAKISTAN

Wavuvi wakijaribu kumtoa Papa nje ya bahari kwenye bandari ya Karachi, Nchini Pakistan.
Winchi likimnyanyua Papa huyo toka majini .
Umati wa watu waloifurika kushuhudia Samaki huyo mkubwa baada ya kutolewa majini katika bandari ya Karachi, Nchini Pakistani.

No comments: