
DC NYARUGUSU(WAZEE WA DOZI) FROM DC

HOUSTON (SERENGETI BOYZ) FROM TEXAS

BURUNDI FROM ARIZONA

STARS UNITED

SENEGAL DC
TANZANITE FROM ATLANTA GA
Mechi zitaanza kuchezwa kuanzia saa 5 asubuhi hadi saa 12 jioni timu zote zinatakiwa kufika siku ya Ijumaa March 30, 2012 nimatumaini ya Vijimambo timu zote zitafanya hivyo, kama kuna mabadiliko tafadhali toa taarifa mapema. mechi zitachezewa uwanja wa Walker Mail Turf Field uliopo karibu na uwanja wa FedEx

SENEGAL DC
TANZANITE FROM ATLANTA GA
Mechi zitaanza kuchezwa kuanzia saa 5 asubuhi hadi saa 12 jioni timu zote zinatakiwa kufika siku ya Ijumaa March 30, 2012 nimatumaini ya Vijimambo timu zote zitafanya hivyo, kama kuna mabadiliko tafadhali toa taarifa mapema. mechi zitachezewa uwanja wa Walker Mail Turf Field uliopo karibu na uwanja wa FedEx
No comments:
Post a Comment