D.J.Dully smart
mweka hazina hakua na mpinzani Jimmy Mkude na mama mwenye nyumba Bi Fatma Al Tamim ambaye pia ni katibu mkuu msaidizi,
Msimamizi wa uchaguzi Dr.Ngai Mbilinyi wakiwa na Patrick Newman Msaidizi wa Mwenyekiti.
Wanajumiya Seattle, WA wakipata chakula cha mchana baada ya mapumziko mafuti
Bi Haliti Biubwa,Mwanahamisi Moya na Haroub Ali,
Bi Samia Mshangama,katibu mkuu Kedmon Mapana na Cholo Ngazi
Bi Mwanahamisi na Haroub
Wanajumiya Seattle wakiendelea na chakula cha mchana baada ya mapumziko mafupi
Kutoka shoto ni mayor wa seatlle ambae amechaguliwa kama katibu mwenezi mpya(public relations)Amin Dola wakiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti mstaafu Emil Muta (kati) na katibu mkuu Kedmon Mapana
Wanajumuiya wakijiandikisha na kuingia kwenye mkutano wa uchaguzi uliofanyika siku ya Jumamosi March 31, 2012 mjini Seattle, Washington State.
Mwenyekiti mustaafu, Emil Muta akiongea machache kwenye mkutano huo.
Kwa picha zaidi Bofya Read More
No comments:
Post a Comment