Advertisements

Saturday, July 28, 2012

BANG CRUISE PARTY ILIVYOFANA JIJINI CHICAGO




Picha na matukia ya Bang Cruise party iliyo fanyika friday night , hili ndo boat lililo kuwa lina helea juu ya maji nya Lake Mchigani uku Dj Denis chini aki wapa burudani watu waliojitokeza usiku huo kwa ajili ya Bang Cruise party hiyo. Watu walifuhi na kila mmoja akutaka party ifikie mwisho kutokana na music ulio kuwa unaongonzwa na Dj Denis kutoka Twin Cities Menniapolis. Licha ya kupata chakula ndani pia kulikuwa na live show za wasani Stanboi kutoka Wichita Ks, na Wakazi Wassira kwenye ma kazi yake Chicago.

Dj Dennis akiwa jibika vilivyo kuwa letea kitu roho inapenda.

Wakazi Wassira akiwa kati uwapa mistari ya hip pop yenye vina vilivyo bora

Stanboi nae kama kawa akitoa burudani live ndani ya boat hilo

Hapa ni Staniboi the African Child pamoja na Peter mratibu wa mpngo mzima wa bang Cruise

Hapa ni Stanboi kushoto pamoja na Wakazi wakipata ukodak wa vijimambo kabla ya kuanza kuwatoa burudani live kwenye bang cruise hiyo.

Wadau wa Chicago wakiwa kwenye Boat

Ilikua ni kujianchia na kujimwaya aya ndani ya Boat

Watanzania wa Chicago na vitongoji vyake wakijumuika kwa pamoja kwenye Cruise Party iliyofaynyika Chicago Ijumaa July 27, 2012.


Warimbwende wakipata picha ya pamoja kwenye Cruise Party iliyofanyika Chicago

Ni Ukodak Moment










1 comment:

Anonymous said...

Did people swim in the lake? There is a lady in a swim suit.....