Advertisements

Monday, July 30, 2012

MNUSO WA KUMPONGEZA BRIGEDIA JENERALI MAGANGA

Brigedia Jenerali Maganga akitoa shukrani zake kwa familia, ndugu jamaa na marafiki kwa kujumuika pamoja katika sherehe ya kumpongeza kwa kukamata Nondoz ya  Diploma In Military Science inayoenda sambamba na Master In Strategic Studies siku ya Jumamosi July 28, 2012 nyumbani kwake, Silver  Spring, Maryland.
Brigedia Jenerali Maganga akipata chakula akiwa na  Waziri mkuu wa moyo wake Love Maganga
keki mbili kweli kukamata Nondoz si  si mchezo
Brigedia Jenerali Maganga akikata keki
Brigedia Jenerali  akipokea zawadi mbalimbali yakiwemo maua aliyoleta kaimu Balozi wa Tanzania Nchini Marekani Mhe. Liliani Munanka (hayupo pichani) , Mercy Dachi (kati) na Mkewe Love Maganga.
Brigedia akiendelea na chakula.
Wageni mbalimbali kutoka kila pembe ya Dunia walikuwepo kwenye sherehe hizo
Mtoto wa Brigedia Jenerali Maganga akiwa amembeba mtoto.
Wageni wakibadilishana mawili matatu.
Wageni waalikwa wkiw na mwenyeji wao.
Kwa picha zaidi Bofya Read More


1 comment:

Anonymous said...

mlitishaje wanywamwezi jamini....kweli nimeamini wanyamwezi mko juu sana...