Advertisements

Sunday, September 30, 2012

DIAMOND AFANYA SHOW JAGWANI SECONDARY SCHOOL KWAAJILI YA KUCHAGIA WANAFUNZI WALEMAVU





Jioni ya jana Diamond alifanya show katika shule ya sekondari Jangwani, kwenye tamasha maarumu kwa ajili ya kuelimisha wanafunzi juu ya athari za malaria, kukusanya pesa kwa ajili ya kusaidia wanafunzi wenye ulemavu na pia kukuza vipaji vya wanafunzi. Tamasha hili liliudhuriwa na wanafunzi wa shule mbalimbali za Jijini Dar.

Hapa Diamond akiwa waimbia wanafunzi wa jangwani secondary school shuleni hapo






3 comments:

Anonymous said...

mtu akikulalia baba hapo kifuani malaria yote itakwishwa sweet body babymmmmm

mdau NY

Anonymous said...

natamani ningekuwa bongo namuona mchizi huyu na mind kuliko wema sepetu anavyo mind kanifanya nimekosa usingizi leo usiku huu kumungalia hii body picture yake hata mume wangu kakasirika jamani eeh nikiachwa diamond ujue ni sababu yako na hasa hasa picha hii najua hamtoa amini lakin mapenzi wazimu kila mtu huguwa ukitaka usitake kaka luke tafadhali niwekee hii comment please

mdau U.S.A

Anonymous said...

haya makubwa mtu uko na mume unamuota diamond haya weeee na diamond usivae chain ya dhahabu mshikaji wangu wewe mtoto wa kiislamu haruhusiwi na pia inapunguza nguu za kiume si utani chunguza utaona mishela wengi wanava chai za dhahabu hawawezi shughuli kama vidume vinginewe na ndo maana uislamu ume kataza hii kitu chunguza wangu kama huniamini