Advertisements

Sunday, September 30, 2012

MAMA WA DIAMOND AFYA YAKE TETE AKIMBIZWA HOSPITALINI KWA UCHUNGUZI ZAIDI


Diamond akiwa hospitalini hapo kuja kuakikisha mama yake anap[ata huduma inayoitajika


Hapa mma wa Diamond akiwa hospitalini sehem ya mapokezi akisuburia kuona na huduma kutoka kwa wahusika wa hospitalini hapo.

Diamond akiwa hana raha kabisa juu ya mama yake kuwa mgonjwa
Diamond akitokwa na machozi kwanoi alishindwa kabisa kujizuia kutoka kana na afya ya mama yake kuwa mbaya hadi kufikishwa hospitalini hapa.

Diamond akiwa hospitalini hapo akimsubiri mama yake akipewa huduma

1 comment:

Anonymous said...

pole sana dear mungu atamjalia mama atapona okay usijali okay kuumwa ndo tulioumbiwa dear okay

mdau Anayekupenda kupita kiasi
NY