ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, October 25, 2012

KAMPENI ZA UDIWANI KILEMA YA KUSINI

Dr.Cyril Chami akiwahutubia wananchi wa Kilema ya Kusini wakati wa uzinduzi wa kampeni za udiwani huko Moshi Vijijini.


Aggrey Mareale mjumbe wa NEC Moshi mjini akiwasalimu wa wana Kilema ya Kusini wakati wa kumtambulisha mgombea wa udiwani kata ya Kilema Kusini.




Nape Nnauye,Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi (kushoto) akimtambulisha mgombea wa kiti cha udiwani Kilema ya Kusini, Ndugu  Temu Peter Ernest . (21/10/2012)




No comments: