ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, October 25, 2012

UVCCM NA UONGOZI MPYA



 Kamanda wa Chipukizi Kingunge Ngombale-Mwiru akijadili jambo na Ktb Mkuu wa CCM Wilson Mukama wakati wa kutangazwa matokeo.

 Mjumbe wa Kamati Kuu, Rais wa Zanzibar, Dk. Shein akiwa na Mwenyekiti mpya wa UVCCM,  Khamis Sadifa Juma na Makamu Mkt UVCCM, Mboni Mhita baada ya viongozi hao wapya wa Umoja huo kutangazwa kuwa washindi leo katika uchaguzi mkuu wa UVCCM uliofanyika jana mjini Dodoma.

No comments: