Rodrick Minja, Dodoma
RIPOTI
ya bunge kuhusu tuhuma za wabunge wa Kamati ya Nishati na Madini
waliotuhumiwa kujihusisha na vitendo vya rushwa,inatarajia kuwasilishwa
bunge wiki lijalo.
Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Job Ndugai aliwaambia waandishi
wa habari jana kuwa Spika wa Bunge Anne Makinda atatoa utaratibu wa
namna ya kuwasilisha ripoti hiyo ndani ya ukumbi wa bunge.
.jpg)
No comments:
Post a Comment