Waheshimiwa wabunge wakifuatilia mada katika semina
hiyo.Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
Dkt. Emmanuel Humba akitoa maelezo kuhusu huduma za Mfuko Taifa wa Bima ya Afya
kwa Waheshimiwa Wabunge katika Ukumbi wa Pius Msekwa Dodoma
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Jamii
Bi. Irene Isaka akiwasilisha maada kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu Sekta ya
Hifadhi ya Jamii Nchini.
1 comment:
kazi nzuri Irene! Nilijua utafika mbali.
College-mate from Mlimani
Post a Comment