Advertisements

Monday, December 3, 2012

TASWIRA MBALIMBALI ZA MECHI KATI YA STARS V RWANDA , ZANZIBAR V BURUNDI


Wachezaji wa Bara wakimpongeza Bocco baada ya kufunga bao la pili katika Robo Fainali ya kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge dhidi ya Rwanda. Bocco alishangilia huku akichechemea baada ya kufunfa bao hilo kutokana na kuumia, baada ya kugongwa na kipa wa Rwanda, Jean Claude Ndoli wakati anaenda kufunga. Bara ilishinda 2-0 na kutinga Nusu Fainali. 


Mfungaji wa penalti ya mwisho na ya ushindi ya Zanzibar, Abdallah Othman akikimbia kushangiloia baada ya kumaliza mechi ya Robo Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge dhidi ya Burundi kwenye Uwanja wa Lugogo mjini Kampala, Uganda, Zanzibar ilishinda kwa penalti 6-5 baada ya sare ya 0-0 ndani ya dakika 90.
Kwa picha zaidi Bofya Read More
Kaseja amedaka, huku Yondan akiwa tayari kumsaidia
Manahidha wakisalimiana kabla ya mechi, Juma Kaseja wa Bara kulia na Haruna Niyonzima wa Rwanda kushoto
Kikosi cha Rwanda leo


Kikosi cha Bara leo
Watanzania waliokuja kuisapoti timu hapa
Shomary Kapombe akimdhibiti Dadi Birori 
Athumani Iddi 'Chuji' akiruka juu kulia kuokoa
Amri Kiemba anamkokota mchezaji wa Rwanda
Kocha Milutin Sredojevic 'Micho'
John Bocco akiwashughulisha mabeki wa Rwanda
Refa anaonyesha kati, baada ya Kiemba anayekimbia nyuma yake kufunga bao la kwanza
Bao la Kiemba
Mwinyi Kazimoto kulia akimburuza mchezaji wa Rwanda
Ulinzi mkali langoni mwa Rwanda, lakini bado mbili zilipenya
Bocco anasababisha
Jean Claude Ndoli wa Rwanda aliyeruka hewani kudaka moja ya michomo ya hatari iliyoelekezwa langoni mwake
Mwinyi huyooo
Ndikumana chini, shughuli ya Issa Othman Ally kushoto
Aggrey Moris akimdhibiti mshambuliaji wa Burundi
Suleiman Kassim Selembe kulia anakokota ngoma
Abdulaghan Gullam akitafuta mbinu za kumtoka mchezaji wa Burundi
Aggrey Morris anapanda kusaidia mashambulizi baada ya kuokoa
Selembe anapasua katikati ya watu
Issa Othman Ally anaondoka na mpira mbele ya wachezaji wa Burundi
Jaku Juma akipambana na beki wa Burundi
Ndikumana akijuta baada ya kukosa penalti
Balozi wa Tanzania nchini Ugamda, kulia akimpongeza kocha wa Zanzibar

Wachezaji wa Zanzibar wakimpongeza Abdallah Othman
Wachezaji wa Zanzibar na baadhi ya viongozi wakimpongeza Abdallah Othman katikati aliyesujudu
Picha zote kwa hisani ya Bin Zubery Blog

No comments: