Advertisements

Tuesday, January 22, 2013

Polisi yawatawanya waendesha pikipiki (bodaboda) na mabomu ya machozi.

Askari wa kikosi cha kutuliza ghasia - FFU mkoani Mwanza leo asubuhi wamelazimika kutumia mabomu ya machozi, risasi za moto pamoja na kutembeza mkong'oto kwa waendesha pikipiki, maarufu kama bodaboda wa jiji la Mwanza ambao walikuwa wakipambana na askari wa kikosi cha usalama barabarani wakipinga kukamatwa kwa pikipiki zao, katika operesheni iliyoendeshwa na jeshi la polisi mkoani humo.

No comments: