Advertisements

Wednesday, February 27, 2013

MAPACHA WATATU KUZINDUA YARABI NAFSI MARCH 2

Waimbaji wa bendi ya Mapacha watatu Khalidi Chokolaa (kushoto) na Jose Mara wakiwa wameshika CD ya albam yao mpya Dar es salaam jana watakayoizindua March 2 katika ukumbi wa bussines park.
Meneja wa bendi ya Mapacha Watatu akizungumza na waandishi wa habari juu ya uzinduzi wao 
Msanii wa bendi ya mapacha watatu Catherine Fidelic ' Cindy' akiimba mbele ya wana habari
Picha kwa hisani ya burudaniblog.

No comments: