Sunday, February 3, 2013

Sherehe za miaka 36 ya CCM zafana Houston-Texas

Mwenyekiti wa CCM-Texas Bw.Simon Makangula(kulia) akimkabidhi kadi mwanachama mpya Bw.Kelvin
Mwenyekiti wa CCM-Texas Bw.Simon Makangula(kulia) akimkabidhi kadi mwanachama mpya Bw.Joseph Hizza
Mzee wa CCM-Texas Juma Maswanya (kushoto) akiwa na Katibu Mkuu wa CCM-Texas Abdallah Nyangasa

Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM-Texas, kutoka kushoto Frank, Salum na Abdallah

Novatus Simba & Abdulkarim Faraji

Salum & Sister Kevo

Mwenyekiti Makangula (kulia) na Katibu Mkuu Nyangasa
Wana CCM - Texas

Salim Kitogo na Frank Mutafungwa
Wana CCM - Texas

Wana CCM - Texas

Wana CCM - Texas
Wana CCM - Texas
Mjadala wa kuboresha Chama


Mzee Maswanya na mgeni Sekulu 




No comments: