ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, March 23, 2013

MAELFU WAFURIKA KUMPOKEA DIAMOND UKEREWE

Ilikuwa 16 March Mchana Diamond  alipowasili Wilaya ya Ukerewe, majira ya Saa 7 Mchana...alikuwa na haya ya kusema."Namshukuru Mungu Tuliwasili salama Mimi na Crew Yangu Nzima ya Wasafi, pichani ni jinsi nilivyowasili na kupokelewa na maelfu ya wana ukerewe, kiukweli nilifurahi na kufarijika sana...ni upendo uliozidi kifani...much Love kwa wapenzi wangu wa Ukerewe"
Watoto kwa Wakubwa walifurika bandarini kumpokea Prezdah wa Wasafiii
Akiwapa Mkono Mashabiki waliofurika kumlaki Bandarini....
Umati wa watu Waliacha kazi zao na kuongoza Msafara wake kuelekea Mjini....
"Weka Mkono kwa Hewa wana wa ukereweeeeeee......" Prezdah Nimewasili kutii Kiu zenu..!
Msafara wake ulipita karibu na shule ya Msingi Ukerewe na Hali ilikuwa kama hivi wanafunzi kibao walitoka  madarasani na kuja kushuudia prezdah alivowasili wilayani UKEREWE..
Thanks God kwa Rehema zako na baraka zako zinazonifanya niwepo hapa...
AMANI NA UPENDO NDIO TASWIRA YANGU......HESHIMA KWA WAKUBWA NA
WADOGO NDIO NGUZO YANGU....!!

Picha na This is Diamond

No comments: