Thursday, May 2, 2013

MAZOEZI YA REDD'S MISS KIBAHA YAPAMBA MOTO


Mkufunzi wa Warembo wa Redd's Miss Kibaha Rehema Uzuwiya akizungumza na warembo hawo wakati wa mazoezi yao yanayo endelea katika ukumbi wa Vijana Kinondoni.
Warembo wa Redd's miss kibaha wakiwa katika pozi wakati wa mazoezi yao
Warembo watakao wania taji la Redd's Miss Kibaha wakiwa katika pozi wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika ukumbi wa vijana Kinondoni Dar es salaam picha na www.burudan.blogspot.com

No comments: