Kutoka kushoto ni Fredrick Simon (12), Lushindiho Simkonda (10) na Colyns John (8) wakiwa na mzigo wa tofali
Anna Simon (8) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Ikuti darasa la tatu akiwa amebeba tofali.
Anna na Colyns wakiwa wamebeba mzigo miguuni wakiwa peku majira ya saa 7 mchana ambapo wenzao wanakuwa darasani.
PICHA KWA HISANI YA MBEYA YETU BLOG
2 comments:
Nimeshindwa kujizuia kulia. Na basi sina neno - Mungu awaongezee neema watawala wa Bongoland!!!!!
Wakulaumiwa nani?
Post a Comment