ANGALIA LIVE NEWS
Friday, June 21, 2013
HII NDIO BONGO DAR-ES-SALAAMA YA JIJI LA NEEMA
Baadhi ya watumiaji wa barabara wakijaribu kukwepa mashimo ya maji taka ya chooni yaliyotuama baada ya moja ya chemba ya maji hayo katika Mtaa wa Swahili Kariakoo kujaa na kumwaga maji barabarani huku shimo hilo likikosa mfuniko.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment