ANGALIA LIVE NEWS

Monday, June 24, 2013

KWA WALE WA NAZI WA MASHETANI WEKUNDU AKA MAN UNITED INA WAHUSU HII

Nani mchezaji wa timu ya Man United akiwa na mchumba wake Daniela Martin walivyo kuwa vacation katika ufukwe wa Miami FL. Nani na mchumba wake huyo walionekana wakiwa kwenye dibwi la mahaba kila mara walikuwa bump to bump katika ufukwe huo wenye maraha wa Miami Beach Fl.
Nani amekufa ameoza juu ya penzi analolipata kwa Daniela hadi akaamua kuweka ushahidi wa pete kabisa ili kila mtu ajue kuwa hapo ndio kafika
Daniela akimsukuma majini mpenzi wake huyo anaesukuma ngozi ya ngombe katika club ya Man United uko kwa wakoloni.
Mambo ya bump to bump hayo kwa wependana nao wakiwa majini uko Miami
Nani akiwa na Mchumba wake Daniela Martin ambae amemuengage siku za karibu wakipata kipupwe ndani ya ufukwe wa Maimi FL.
Hapa Nani akiwa na Drake wakiwa kwenye moja ya viota vya maraha uko Miami.

No comments: