ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, June 19, 2013

Misa ya Kumuaga Marehemu Jerome Mpefo yafanyika Houston

Wanajumuiya wa TZ- Houston siku ya jana (Jumanne 18/06/2013) walifanya Misa ya kumuaga Marehemu Jerome Mpefo katka kanisa la Mt.Cyril wa Alexandria. Misa iliongozwa na Padri Avitus Rukuratwa Kiiguta kutoka Parokia ya Mt.John de la Salle, Chicago. Mwili wa Marehemu Jerome unatarajiwa kusafirishwa kwenda Tanzania mwishoni mwa wiki.

Mke wa Marehemu Jerome, Clara Mpefo 

Padri Kiiguta kutoka Jimbo la Chicago akiendesha Misa Takatifu 

Bw.Majeshi, mdogo wa Marehemu Jerome

Dada Stellah


Bw,Emmanuel Katili rafiki wa karibu wa Marehemu

Familia ikiuaga mwili wa Marehemu Jerome

Kaka Domino, aliongoza utaratibu mzima wa misa

Familia wakati wa Misa

Mwalimu Maswanya akitoa heshima 




Bw.Eladius akisoma somo ka kwanza



Bw.Fue O. Fue

Dada Mage akisoma maombi


















































5 comments:

Anonymous said...

Jerome Yaani kukuona Kwenye hili Sanduku Siamini macho yangu Jamani .Ila 159 percent upo mbinguni .Ulikuwa na roho ya ajabu Upendo kwa kila Mtu .Ila umetuachia Baraka watoto wako.Pengo lako halitozibwa kamwe

Anonymous said...

Rest In Peace Jerome. Ila kwa mtazamo wangu jamani, watoto wasiwe wanaonyeshwa maiti, huu umarekani wenu huu sijaona kama ni vizuri. Halafu unapoenda kwenye msiba jamani inapendeza kuvaa black/nyeusi au dark colours unless mnavaa sare that is a different story. maana naona kunawalio vaa Jeans, waliovaa pink, white na kadhalika. Asanteni sana kwa kujitokeza kwa wingi mbarikiwe sana. Amina.

Anonymous said...

Watu wengine wametokea makazini hakuna mambo ya jarani kafiwa uondoke mapema kazini si bongo hii.
Kuhusu kuonyesha maiti kwani kuna ubaya gani? Nilipoteza baba yangu nikiwa na umri wa miaka 4, niligombana na watu mpaka wakanionyesha sio umarekani ila ni baba yao na kama wanataka kuona waonyeshwe ili waelewe nini kinaendelea. Ule wakati wa kudanganya watu sio sasa kwani watoto wa leo wanauliza na kutaka majibu yenye maana.

Anonymous said...

Jerome upumzike kwa amani. Mungu amekupenda zaidi. Clara, Patric na Catherine. Mwenyezi mungu aendee kuwapa nguvu. Jerome mungu amekuita angali bado kijana na baba mwema kwa wtt wako endelee kuwalinda huko ulipo sasa. Mapenzi yake mungu hayana mpinzani. Upumzike kwa Amani Jerome.

Anonymous said...

Jerome umetuachia kilio tuu .upendo wako wa ajabu utaishi milele.nitaku miss mushijaji hata usingizi sipati