MSIBA-MSIBA-MSIBA
DMV
Dada yetu na rafiki
yetu Jacgueline Francis Mberesero, (Mama
Emma Ukoh) amefiwa na baba yake mzazi,
Mzee Francis Mberesero huko Moshi,
Tanzania.
Msiba uko nyumbani
kwake:
6525 LANDOVER ROAD, APT 303
CHEVERLY, MD 20785
Kama ilivyo kawaida
yetu, ukipata muda mpigie simu au mtembelee nyumbani kwake ili kumpa pole
kwenye kipindi hiki cha majonzi.
Kwa taarifa zaidi
piga simu namba:
301-755-3400,
240,176-6335 na 240-217-5340

No comments:
Post a Comment