ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, June 25, 2013

Zaidi ya wafanya biashara 100 manzese midizini waondolewa.

Zaidi ya wafanyabiashara 1000 wa Manzese Midizini jijini Dar es Salaam wameondolewa katika maeneo yao ya biashara na jeshi la polisi pamoja na mgambo kupisha ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi hukuwafanyabiashara hao wakilalamikia kitendo hicho cha kushtukiziwa.

No comments: