ANGALIA LIVE NEWS

Monday, July 1, 2013

PICHA: #POETRYADDICTION YA CHEUSI DAWA ILIVYOKUWA PALE TRINITY USIKU WA JANA

Jana kampuni ya Cheusi Dawa ilifanya kitu kinachoitwa #PoetryAddiction 2013 ikishirikisha wasanii wa Hip Hop na RnB kutoka Tanzania, kama Mad Ice, Chidi Beenz, Wakazi, One The Incredible, Damian, Fid Q mwenyewe na wengine kibao. Show hiyo ambayo Ncha Kalih alii-host na ilikuwa ikifanyika live, ilikuwa ni ya aina yake.

Check picha hapa chini zilizopigwa na kampuni ya Slide Visuals …
Vanessa Mdee and a friend.
Ngosha himself a.k.a FidQ
Mzungu Kichaa na Fid Q

Chidi Beenz
NchaKalih (The Host)
TK Nendeze and friends …

Millard Ayo …
One The Incredible …
Fid Q.

No comments: