Advertisements

Wednesday, August 14, 2013

ANGALIA FOLENI YA KWENDA KUMJULIA HALI SHEIKH PONDA ISSA PONDA

Foleni ya Waumini wakisubiri zamu yao kwenda kumjulia hali Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda aliyelazwa kwenye wodi binafsi ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (Moi) akipatiwa matibabu leo.

Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda amesomewa mashitaka ya uchochezi na Mwanasheria wa serikali, akiwa wodini MOI anapoendelea kupata matibabu. Sheikh Ponda arijeruhiwa Jumamosi iliyopita akiwa katika mhadhara wa Kiislamu huko mkoani Morogoro. Baada ya kujeruhiwa Ponda alilazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili kabla ya kuhamishiwa katika Taasisi ya Mifupa (MOI) aliposomewa mashitaka. Kesi yake itaendelea pindi atakapopata nafuu.

Lukaza Blog

No comments: