ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, August 1, 2013

Hapa kuna list ya masanii, producers na watu wa media 166 walioalikwa na Rais Kikwete kufuturu Ikulu leo


Bofya read more kuona majina yote..

2 comments:

Anonymous said...

orodha inasema wasanii nilidhani wangekuwa wanamuziki na waigizaji, kwa orodha hii naona wengi wao kama si wote ni wanamuziki na zaidi wa bongo fleva au kizazi kipya. siwaoni wasanii wakongwe kama kina bichuka, moshi, chidumule wala waigizaji. labda wamesahaulika au zamu yao haijafika. naamini mheshimiwa rais na wasaidizi wake watazingatia hilo kwani rais ni baba wa wote.

Anonymous said...

Wee mtoa comment wa juu hapo Moshi alishatangulia mbele ya haki miaka mingi