Bondia Rashidi Matumla kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Maneno Osward wakati wa mpambano wao uliofanyika katika uwanja wa jamuhuri morogoro wakati wa sikukuu ya iddi pili mchezo huo ulitoka droo na imekuwa ni mara ya nane tangia waanze kupambana mpambano wao wa kwanza ulikuwa mwaka 2001 picha na SUPER D
Bondia Rashidi Matumla kulia akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Maneno Osward wakati wa mpambano wao uliofanyika katika uwanja wa jamuhuri morogoro wakati wa sikukuu ya iddi pili mchezo huo ulitoka droo na imekuwa ni mara ya nane tangia waanze kupambana mpambano wao wa kwanza ulikuwa mwaka 2001 picha na SUPER D
Refarii Antoni Lutta katikati akiwainua mikono juu mabondia mikono juu kuashilia ni droo
No comments:
Post a Comment