Advertisements

Friday, September 27, 2013

Rais Kikwete asaini Kitabu cha maombolezo Ubalozi wa Kenya New York

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo kwenye ofisi za ubalozi wa Kenya wa kudumu katika Umoja wa Mataifa jijini New York jana kufuatia shambulizi la kigaidi katika sehemu ya biashara ya West Gate jijini Nairobi Kenya hivi karibuni.Kulia ni Naibu Balozi wa Kenya wa kudumu Umoja wa Mataifa(Deputy Permanent Representative) Mhe.Koki Muli Grignon.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwafariji wafanyakzi wa Ubalozi wa kudumu wa Kenya katika Umoja wa Kimataifa muda mfupi baada kusaini kitabu cha maombolezo katika ofisi za ubalozi huo jijini New York, Marekani leo mchana kufuatia shambulizi la kigaidi jijini Nairobi ambapo watu kadhaa walipoteza maisha(photos by Freddy Maro)

No comments: