ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, October 20, 2013

ATUFIGWEGE MPONI APATA JIKO


Atufigwege Mponi akiwa na kipenzi mke wake Neema baada ya kufunga ndoa Mkoani Mbeya Jumamosi  Oct 19, 2013 na kuhudhuriwa na ndugu na jamaa kutoka kila pembe ya Tanzanria. Bwn. Mponi ni Mkaazi wa Maryland nchini Marekani.

Bi harusi akiingia ukumbini siku ya Send off  yake iliyofanyika Dar es Salaam siku ya Ijumaa Oct 11, 2013

Bi harusi Neema akifanya mambo yake.

Bwana na Bi harusi na wapambe wao
kwa picha zaidi bofya soma zaidi

1 comment:

Anonymous said...

Halo Halo ya Mponi!!! Hongera na wifi Karibu DC