Video Queen wa muziki wa Bongo Fleva,Agnes Gerlad ‘Masogange amerejea nchini akitokea nchini Afrika ya Kusini baada ya kusekwa rumande kwa tuhuma za kukamatwa na madawa ya kulevya.
![]() |
| Kupitia account yake ya Instragram Agness amepost picha akiwa eirport na kuandika kuwa …am comng homeeeee… |

Agness na mdogo wake Merisa Edward miezi kadhaa iliyopita walikamatwa na madawa ya kulevya nchini na baadaye kuachiwa kwa dhamana haijajulikana kama wamerudi wote…


2 comments:
Kama ni kweeli alikamatwa na madawa ya kulevya/sembe na aakachiwa katika manshari ya kutatanisha Baasi atarudia tu tena kuyauza na kuyasambazaaa kwasababu hakupata hadhabu ya kumfunzaa !!! Wahenga walisema " asiyefunzwa na mama yake hufunzwa na ulimwengu" Yeetu macho na masikio. Aacha ni lale.
Kama ni kweeli alikamatwa na madawa ya kulevya/sembe na aakachiwa katika manshari ya kutatanisha Baasi atarudia tu tena kuyauza na kuyasambazaaa kwasababu hakupata hadhabu ya kumfunzaa !!! Wahenga walisema " asiyefunzwa na mama yake hufunzwa na ulimwengu" Yeetu macho na masikio. Aacha ni lale.
Post a Comment