![]() |
Katibu wa ccm mkoa wa Singida.
enzi za uhai wake
|
Wanao Peter, Ang'e, Eliza na Lilian tunakukumbuka na kukumiss mama yetu mpendwa. Ulikuwa mama mcheshi na mpenda sports.
Sisi tulikupenda ila mola alikupenda zaidi.
Na tumkumbuke katika sala zetu. Roho yake ilale mahali peponi.
Ameni
Ameni

No comments:
Post a Comment