ANGALIA LIVE NEWS

Sunday, October 13, 2013

UPDATES #2: MSIBA MINNESOTA

Timothy Mshomi
Kama Mnavyofahamu ,ndugu yetu,Timothy Mshomi, mtoto wa Bariki Mshomi na Anna Kasidi wa Minnesota,amefariki dunia ghafla  Alhamisi asubuhi nyumbani kwao Rogers Minnesota.
Kuanzia jumatatu,Msiba upo nyumbani kwa Bariki Mshomi kwenye anwani: 22820 Gardner Ave, Rogers Minnesota. Leo jumapili hatutakutana mpaka kesho jumatatu.

Mazishi yamepangwa kufanyika Jumamosi mchana October 19th 2013 St.Paul-Minnesota.

Kama ilivyo desturi yetu,tafadhali tunaomba mchango wako wa hali na mali ili kukamilisha shughuli hii na kuwasaidia ndugu zetu katika kipindi hiki kigumu.

Kwa wale waliopo nje ya Minnesota au nje ya marekani,mnaweza kutuma michango/rambirambi zenu kwenye Bank account maalum kwa ajili ya shughuli ya msiba huu:-

Bariki Mshomi or Anna Kasidi,
Wellsfargo Bank
Routing # 091000019 Account # 9835036949 
swift code WFBIUS6S 
Wire from USA :Routing # 121000248 and account # 9835036949

 Kwa taarifa zaidi kuhusu msiba na mipango ya mazishi,unaweza kuwasiliana na wafuatao:-
 Dr.Crispin Semakula  651-983-7637
Gracious Msuya  763-439-5626
Sally Semakula   651-983-7632
Dada Lau    651-329-1421
Jackson Mollel   651-334-0163.
MUNGU AKUBARIKI NA MTAARIFU NA MWINGINE.

1 comment:

Anonymous said...

Very sad situation, hawa vijana ni vijana wetu jamani!! Mungu amlaze pema.