ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, November 12, 2013

DUH..!! WATU WABUNIFU SANA.. TAZAMA JINSI WALIVYOBUNI NA KUUNDA HAYA MAJENEZA..!


Kama ni mpenzi mitandano ya kisasa na habari zisikupite basi hiyo inakufaa
Kwa wale wapenda swagazz
Kma mpenda ni mvuvi au mpenda samaki basi jichongee hilo kabisa
Old is gold mambo ya enzi hizooo, wale wenzangu wa zamani basi hili jeneza inatufaa
Kwa sisi wapenda vitamu basi hii size yetu

No comments: