ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, November 12, 2013

HII NI MITINDO YA NYWELE YA SUPER STAA RIHANA ILIYOSHINDIKANA KABISA KUKOPIWA KULIKO YOTE

Mitindo ya nywele anayoweka kwenye kichwa chake msanii huyu huvutia sana mabinti duniani na kupelekea wengi kubadilisha muonekano wao kwa sababu ya Rihanna. 
Katika kwenye hii picha ni baadhi ya mitindo iliyokataa kushika soko kwa mashabiki wake na wengi hawakukopi mtindo huu

No comments: