ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, November 7, 2013

Mbeya City 3 Azam 2 pambano linaendelea

Golikipa wa Mbeya City akiokoa moja ya hatari zilizoelekezwa langoni mwake katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Azam FC unaoendelea kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam.
Wachezaji Mbeya City wakifanya mazoezi mepesi kabla ya kuanza kwa mchezo wao dhidi ya Azam FC.
Mashabiki wakiwa katika misururu mirefu kuingia uwanjani kushuhudia pambano la Azam na Mbeya City kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam. 

Mashabiki wa Mbeya City.
Wachezaji wa Mbeya City wakifanya mazoezi mepesi kabla ya kuanza kwa mchezo wao dhidi ya Azam FC. (Picha na Francis Dande)

No comments: