ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, November 6, 2013

OPRAH WINFREY ATUMIA NENO "CHAI" ALIPOPOSTI PICHA KWENYE INSTAGRAM YAKE WAKATI AKIANDAA CHAI

Mtangazaji Maarufu Kutoka Marekani Oprah Winfrey ameonyesha kuikubali lugha ya Kiswahili baada ya kupost Picha Akiwa ameandaa Chai kwa ajili ya kiburudisho cha siku ya jumapili.
Oprah aliandika kupitia ukurasa wake wa Instagram ” CHAI READY FOR #SUPERSOULSUNDAY WITH @REALROBBELL ” Huku akionekana kushika kikombe cha Chai na tabasam kubwa kabisa

wpid-IMG_20131103_211516.jpg

Haya ndio maneno ya Oprah aliyopost Instagram
Oprah Aliwahi kutembelea Tanzania katika Mbuga ya wanyama ya Serengeti na kupata Kifungua kinywa kati kati ya Mbuga, huenda huko ndipo alipopata neno CHAI

11 comments:

Anonymous said...

This is so sad. Neno 'chai' limekuwa likitumika na mataifa mengi ya Asia, ulaya na middle east miaka mingi kabla kiswahili hakijaanza kutimika duniani na kabla wazungu hawajaleta zao la chai Afrika. Oprah amezitembelea nchi zinazotumia neno 'chai' kabla ya kutembelea Tanzania. The notion that Oprah learned 'chai' during her Tanzanian tour is ludicrous. Acha uvivu, do your research first before measleading people. Unaweza uka google tu ili kuthibitisha maelezo yangu.

Anonymous said...

Kwa taarifa yako asili ya neno chai ni: Turkish çay & Russian, Persian, Hindi, & Urdu chay tea. Siyo lazima liwe neno la kiswahili.

Anonymous said...

mmmmh! neno chai linatumika sehemu nyingi tuu sio kiswahili pekee hata india chai wanaita chai,

samkivuyo said...

Chai ni neno la kihindi, kila mtu anajua hilo

Anonymous said...

Chai ni neno la kihindi, kiarabu na hutumika marekani na ulaya kama kinywaji moto au baridi. Kiswahili kimeazima maneno mengi ya kiarabu na ya kihindi, hivyo itakuwa upotoshaji wa habari tukisema bi oprah kasikia Chai Tanzania.

Anonymous said...

Chai is a common English word in Asia and Africa as well.

Anonymous said...

Mbona neno hili Chai halina asili ya Kiswahili. Neno hili hutumika pia kwenye nchi kadhaa za kiarabu zikiwemo Iran na Iraq na hata kampuni ya Starbucks wanauza Chai. Cha ajabu nini??!!

Zanzibar.

Anonymous said...

Msikurupuke tu kupost habari zisizo na maana kabla hamjafanya uhakiki vinahuzunisha

Anonymous said...

Yani kwa mtazamo huu nafikiri hujawahi hata kuangalia movie ya Color Purple ambayo Oprah naye aliact in it. Nakusihi angalia, yule mkwe alikuwa natoka Tanzania na kunasehemu wameongea KISWAHILI full sentence.
Luke, usiwe mvivu wakufanya really research kabla ya kuandika vitu. Thanks

Anonymous said...

KUandika chai ndio kaongea KIswahili Oprah mhhhh! mnayakuzisha watanzania hamuoni hata haya kuuza magazeti tu!

Anonymous said...

rofl (':
wananchi hamna dogo!! Haaha!!