yap nani atueleze anayepeperushiwa ujuembe kumeshaiva nini na kweli msemo huu upo safi muruwaa dunia ya leo ni lazima mtu ujikite sana kuchangua mwenza mwenzako other wise utakula kwako na jeuri yako ukidhani una mke au mume kumbe wenzako wanakula vyako na wewe unaambulia makoko japokuwa mali yako kila siku
4 comments:
Naunga mkono ila c kuoa tu nakuolewa ndugu yangu
bwana Lucas naona hii week topic za ndoa ndoano ziko kwa wingi, nani huyo unampeperushia ujumbe?
yap nani atueleze anayepeperushiwa ujuembe kumeshaiva nini na kweli msemo huu upo safi muruwaa dunia ya leo ni lazima mtu ujikite sana kuchangua mwenza mwenzako other wise utakula kwako na jeuri yako ukidhani una mke au mume kumbe wenzako wanakula vyako na wewe unaambulia makoko japokuwa mali yako kila siku
Na mimi nahisi Bwana Luka ana agenda ya siri1!!!
Post a Comment