
Jamaa akagoma kwenda kanzini. Mke akavaa kanga imeandikwa "hamniwezi nimemzibiti ndio mana hatoki"Jamaa akaenda kuomba ushauri kwa rafiki yake akamwambia twende nyumbani.Walipofika wakamkuta kavaa kanga imeandikwa"ulizan rafiki yako kumbe adui yako".Chezea kanga za chavda weeee.
No comments:
Post a Comment