Ilikuwa ni wakati wa utengezaji wa video mpya ya ,Chegge..chapa nyingine.........!!!
2 comments:
Anonymous
said...
afadhali wanaume mastaar wa bongo mnapaka poda kidogo tukuoneni mnapendeza wakati mkifanya shooting katika movie zenu hongereni sana paka paka podaa babaaaaa eeeeh ha ha ha umpendeze utakiweee na vimwana ha ha ha
2 comments:
afadhali wanaume mastaar wa bongo mnapaka poda kidogo tukuoneni mnapendeza wakati mkifanya shooting katika movie zenu hongereni sana paka paka podaa babaaaaa eeeeh ha ha ha umpendeze utakiweee na vimwana ha ha ha
Tatizo Lao wanajipaka wenyewe hIzo wasitafute watu ambao wanayajua hayo mambo ya makeup!
Post a Comment