ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, January 4, 2014

BURIANI TONNY BARETTO

Mtoto wa marehemu John-Paul Baretto akisema machache kuhusu baba yake
 
Mzee Ulli Mwambulukutu aliyepata kufanya kazi na marehemu akiwa Mhariri Mtendaji wa Daily News Enzi hizo akiongea machache
Gabby Mgaya kutoka Daily News akimkumbuka Tonny
Bosi wa ITV Joyce Mhavile akisema machache kuhusu Tonny Baretto
Mjane wa marehemu Tonny Baretto, Pearl (wa pili kulia), watoto John Paul (kushoto) na Catherine Rose (kulia) na shangazi yao
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
 
Waombolezaji wakiifariji familia
Mama Rose Mwapachu na Balozi Mwapachu wakiwafariji wafiwa
John Paul akipewa pole na wadau
Poles sana John Paul...
Pole John....
Pole sana kijana wetu....
Ankal akiwa na marafiki wa karibu wa Tonny Baretto. Toka shoto ni Sukhdev Chatbar toka Arusha, Mukesh Josh, Ankal na Mkurugenzi wa Radio One Deo RWeyunga
Marafiki wa karibu wa Tonny Baretto wakisherehekea maisha ya marehemu.

1 comment:

Anonymous said...

Pole sana Ankal na wafiwa. Leo naona umekipiga hasa imebidi niangalie mara mbili mbili.