Wizara ya maliasili na utalii imewasimamisha kazi watumishi wake ishirini na mbili wa idara ya wanyama pori wanaotuhumiwa kushiriki katika vitendo vya ujangili dhidi ya wanyama pori, hujuma, pamoja na vitendo vya rushwa na hatua za kisheria zinaendelea kuchukuliwa dhidi yao.
No comments:
Post a Comment