ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, February 6, 2014

WATOTO WA MAREHEMU MAMA THEONESTINA RWEYEMAMU WAUNGANA NA WATANZANIA WA NEW YORK KUAGA MWILI WA MAMA YAO

Watanzania wa New York wakiaga mwili wa mama Theonestina Rweyemamu, katika Camelot Funeral Home Mt Vernon NewYork siku ya jumatano tayari kwa maandalizi ya kusafirisha mwili huo nyumbani Bukoba Tanzania. 
Watoto wa marehemu Emmanuel na kaka yake Steven wakiwa na majonzi ya kuondokewa na mama yao mpendwa Theostina Rweyemamu. 
Watoto wa marehemu wakiwa wamekaa kwa majonzi 
Mama Kiswaga kutoka New Jersey akiongea 
Wake wa mabalozi wetu mama Manongi na mama Mwinyi walikuwepo pia kuungana na Watanzania wengine katika kuaaga mwili wa marehemu.
Katibu wa jumuiya ya Watanzania wa New York bwana Mhella akiongea kwa niaba ya jumuiya, kwa picha zaidi nenda chini.
Mmoja wa familia ya marehemu akiongea 
akiongea machache juu ya marehemu
Wafanyakazi wa ubalozi wa New York
Watoto wa marehemu

8 comments:

Emelder said...

Jamani poleni sana.
Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa Amani.
Tuko pamoja , Bwana awape nguvu.

Anonymous said...

poleni sana wafiwa wote jamani poleni sana na doris pole sana tuliwahi kukutana kwenye train nadhani utanikumbuka mtanzania mwenzako pole sana tena sana doris tutawasiliana jamani pole sana dear

Anonymous said...

Poleni sana Doris,Diana Steve mungu awape uvumilivu katika kipindi hichi kigumu. Mungu amlaze mama mahali pema peponi.

Anonymous said...

Poleni SANA jamani mungu awape wapenda

Anonymous said...

Pole sana Steve and family. It is harder to lose a parent, and I pray that God to give all strength to get through this difficult time...Rest in peace ma Tina

Anicetus said...

Tanzania diaspora- United we stand.
Thanks everyone who supported this emergency event. In all, total contribution to this emergency event was approx $13,000 in two days. This explains the power of Tanzanian Diaspora.

Anonymous said...

poleni sana jamani doris,steve,diana mungu amlaze mahali pema mama peponi amen poleni sana jaamani

Anonymous said...

mhella nimefurahi sana kukuona leo na kuchat na vituko vya mkuu i think you remember ha ha ha take care