Jeshi la polisi mkoa wa Morogoro limelazimika kutumia silaha na mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wa kijiji cha Mangae kata ya Doma wilaya ya Mvomero baada ya kufunga barabara kuu ya Morogoro - Iringa na kusababisha abiria wanaotumia barabara hiyo kukwama kwa zaidi ya saa sita.
No comments:
Post a Comment