ANKAL AINGIA WASHINGTON, DC KWA ZIARA BINAFSI AKITOKEA UINGEREZA
Juu na chini ni Ankal akiwa na wanaDMV Jana wakati alipokuja ghafla Washington, DC kwa shughuli zake binafsi
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
wajinga ndio waliwao ha hah ha siku ya wajinga
5 comments:
Anonymous
said...
Jamani Michuzi analipenda hilo shati au aliambiwa na Mganga wake akija uku avae hilo shati .apate wateja .Akuna mtu wa kumshauri.najua huyu sio muhuni kama wenye blog zingine.
5 comments:
Jamani Michuzi analipenda hilo shati au aliambiwa na Mganga wake akija uku avae hilo shati .apate wateja .Akuna mtu wa kumshauri.najua huyu sio muhuni kama wenye blog zingine.
Acha ujinga wewe..mtu mzima ovyoo
yaani mngeweka picha watu wamevaa masweta na makoti inge-make more sense
ahahah ,u got me on this one!!!!!
April fools? Why would he dress like that in winter? na hayo majani ya kijani hivyo yametoka wapi msimu huu?
Post a Comment