ANGALIA LIVE NEWS

Monday, May 26, 2014

JK AMJULIA HALI MAMA YAKE ZITTO

RaisJakaya Kikwete, akimjulia hali Mama Mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Zuberi Kabwe katika wodi ya wagonjwa wenye kuhitaji uangilizi maalumu (ICU) ya Hospitali ya AMI jijini Dar es Salaam alikolazwa kwa matibabu.PICHA:IKULU.

4 comments:

Anonymous said...

wanataka kumkolimba mama yake maskini weweee mungu amsaidiye

Anonymous said...

siasa ya bongo kweli ni chafu sana ukiwa msema kweli na kuwatetea wanyonge matokeo ndo haya by slow motion wanaku psychology your mind

Anonymous said...

sio siasa jaman mama yake zito anasumbuliwa na cancer ya shingo ya kizazi.

Anonymous said...

hebu wataalam tuelezeeni hii shingo ya kizazi ni cancer gani tena hii tuelezeeni tafadhali