ANGALIA LIVE NEWS

Monday, May 26, 2014

MABADILIKO YA TAREHE YA KURUDISHA FOMU

                                                                         

 

 

KAMATI MAALUM YA UCHAGUZI- DMV


2014

TANGAZO RASMI:
MABADILIKO YA TAREHE YA MWISHO YA KURUDISHA FOMU ZA KUGOMBEA UONGOZI.

Kamati ya Uchaguzi wa viongozi wa Jumuia ya Watanzania- Washington Metro (ATC), inawatangazia kuwa imeongeza muda wa wagombea uongozi wa Jumuiya kurudisha fomu za maombi na viambatanishi vyote hadi Juni 6, 2014. Hii pia itawapa muda wanajumuiya kujiunga na jumuiya yetu ili tuwe na uchaguzi wa Kidemokrasia utakao fuata katiba tuliyojiwekea ili ituongoze. Tarehe ya Uchaguzi bado ni Juni 21, 2014.


XXXXXXX KARIBUNI  NYOTE XXXXXXXX

No comments: