ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, May 24, 2014

NEW YORK NDIYO HIYO HAPO, YAKUTWA IKIPATA MENYU SWAHILI, HAIKUJA NA MPISHI WAKE KUMBE ILIKUWA MBWEMBWE TU

Wachezaji wa New York wakiwa Swhili wakipata menyu huku wakidai mpishi wao hawakuja nae kwa sababu zisizozuilika ambazo hawakuzielezea ni sababu zipi ambazo Vijimambo imeona madai hayo hayana mshiko na huenda kusema wanakuja na mpishi wao ilikuwa mbwembwe tu.
Juu na chii ni wachezaji wa New York wakiwa Swahili.

5 comments:

Anonymous said...

Vipi game tupe update

Unknown said...

Walibwia ugali hao wakalemewa.Siku nyingine wamlipe mpishi vizuri aje nao!

Msijali maana asiyekubali kushindwa si mshindani!!!

Anonymous said...

mtoto wa dj bilal anacheza break dance na minato kibao sasa kuna kweli team ya kucheza hapa soccer kulala deki

Anonymous said...

msiwasema timu ya NY ndo wanaanza msiwasema kushindwa si mwisho wa kucheza soccer subirini watakavyo jianda next time kwani mungu si athumani kama mmeroga huko dmv next time mtakoma mtakiona cha moto kwani unadhani hatukujuui kwa kuroga roga huko

Anonymous said...

misifa tu imewaja watu wa new york na tutepeta midomo yao kama wana kula mirungi ya kisomali.
watoto wakiume wamerega ovyoo soccer gani wacheze hawa wakapige beni ni taarab