ANGALIA LIVE NEWS

Monday, June 30, 2014

Secrets From the Longest-Living Place on Earth

Longest Living place on Earth, Nagano Japan
Nagano, Japan, has the longest life expectancy in the world, thanks to the region's healthy lifestyle

Takami Kuroiwa looks forward to weekends — not so he can relax with a little golf or TV, but to put in 12-hour days on the family farm. His regular job as a tourism manager provides a comfortable living, but raising his own fruit and vegetables is part of a lifelong routine.At 66, Kuroiwa has already come out of retirement once and expects to work well into his later years.

"It's part of the lifestyle here. You work in an office and then you retire to the farm. It's just the next stage in life," Kuroiwa says. As it turns out, it's a very long life.

A healthy diet, regular physical activity, extended work years and aggressive government intervention have helped the Nagano region produce the longest life expectancy in Japan, which in turn is the longest in the world. That marks a remarkable turnaround for an area that, as recently as the early 1980s, had the highest rate of strokes in Japan.

RAMADHAN KAREEM FOR ALL MUSLIM


May this festival brighten your life,
And bring you peace, joy and happiness
Wish you a blessed Ramadan Kareem

May this holy month of Ramadan,
Be a month full of blessings
May on you be showered peace, joy and prosperity
Happy Ramadan.

LADY JAY DEE AWEKA HISTORIA HUKO KENYA JANA JIONEE HAPA


Zilikuwa ni shangwe zakupitiliza pale mkali kutoka tzee Jaydee ilipofika zamu yake ya kupanda jukwaani, unaambiwa vile amepanda tu, uwanja mzima uliokuwa umefurika mashabiki, ulikuwa umeanza kupiga kelele zikisema yahayaa, ilikuwa ni kuanzia alipoanza kuimba nyimbo ya

Makamu wa Rais, Waziri wa nchi akutana na Balozi wa Ujerumani




 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Dr. Eng. Binilith Satano Mahenge wa (kwanza kushoto) akizungumza na Balozi wa

RAIS WA URUGUAY AWATUKANA MAOFISA WA FIFA



Rais Jose Mujica amesema maafisa wa FIFA wamuadhibu Suarez kwa unyonge wake
Rais wa Uruguay Jose Mujica amewatukana maafisa wa FIFA kwa kuwaita ''kundi la watoto wa Mbwa''
au "a bunch of old sons of bitches".
Hii ni baada ya maafisa wa shirikisho hilo kumpiga marufuku mchezaji wa nchi hiyo Luis Suarez.
Mchezaji huyo aliitaja adhabu hiyo ya marufuku ya miezi minne ikiwemo kutocheza mechi 19 za kimataifa kama adhabu ya kinazi. Suarez alipata adhabu hiyo ambayo inasemekana kuwa kali sana kuwahi kutolewa katika hoistoria ya kombe la dunia kwa kumuua mchezaji wa Italia Giorgio Chiellini. Rais Mujica anasifika kwa kutotafuna maneo yake pamoja na ukali wa matamshi yake. Aliyatoa matamshi yake kupitia televishini ya taifa alipokuwa anawapokea wachezaji wa timu hiyo baada ya kubanduliwa nje ya michuano ya

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA KAMPUNI YA VIETTEL IKULU

KATIBU WA IDARA YA ORGANAIZESHENI UVCCM MAKAO MAKUU, BI ZAINABU KATIMBA AKIAMBATANA NA MJUMBE WA BARAZA KUU KAMARADA SYLVESTER YARED WAPO ZIARANI KASULU NA KATAVI



kuijenga jumuiya, kuzungumza na vijana juu ya mstakibali wao, watumie fursa zilizopo kujiletea maendeleo, wagombee katika chaguzi zijazo hasa za serikali za

VUNJA JUNGU YAMTOKEA JAMAA PUANI, ANASWA AKILA URODA NA MKE WA MPANGAJI WAKE GESTI

Mke aliyekuwa akisumbuliwa, na ndugu wa mume wenye hasira wakizidi kumuadabisha mtuhumiwa.


Vunja jungu! Saa kadhaa kabla ya kuanza kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, jamaa aliyetajwa kwa jina moja la

Picha: Diamond Apiga Story Na Nelly Na Kufanyiwa Interview Na Girlfriend Wa Chris Brown


Kama nilivyosema jana kuwa Diamond amepiga hatua kubwa sana kwenye muziki na ameusogeza muziki wa Tanzania katika level nyingine kwa kushiriki tuzo za BET 2014.
Nelly na Diamond 
Yapo mengi aliyofaidika nayo Diamond ikiwa ni

DAUDA TV: MARCIO MAXIMO PRESS CONFERENCE

RAMADHAN KAREEM-BOB HAISA


Mkasi | SO9E02 with Fareed Kubanda (Fid Q)

COUTINHO AANGUKA MIWILI YANGA

Andrey Coutinho akisaini mkataba wa kuitumikia Yanga kwa kipindi cha miaka miwili mbele ya Katibu Mkuu Beno Njovu leo makao makuu ya klabu

Kiungo mshamabuliaji Andrey Marcel Ferreira Coutinho raia wa Brazil leo amesaini mkataba wa miwili kuitumikia timu ya Young Africans kwa ajili ya michuano mbalimbali ikiwemo ya Ligi Kuu ya Vodacom pamoja na mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.

HAPPY BIRTHDAY

Omari "Guy" Njenje wa North Carolina 

Best wishes for a joyous day filled with love and laughter. Vijimambo timu wish you Happy birthday.

MISA YA KISWAHILI DMV

Padri Shao akiendesha misa ya Kiswahili iliyofanyika Jumapili June 29, 2014 Baltimore, Maryland na kuhudhuriwa na wafuasi wa dini hiyo.
Baraka Daudi akisoma neno.
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akipokea ekaristi takatifu kutoka kwa Padri Shao kwenye misa ya kiswahili iliyofanyika Baltimore, Maryland siku ya Jumapili June 29, 2014.
Mwambata wa Jeshi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Colonel Adolph Mutta akijipatia chochote kushoto ni Wambura.
picha na Aloyce Mbullu, mwakilishi wa Vijimambo Maryland.
kwa picha zaidi bofya soma zaidi

VIVAZI VILIVYOTAMBA TUZO YA BET 2014

Singer Diamond Platnumz attends the BET AWARDS '14 at Nokia Theatre L.A. LIVE on June 29, 2014 in Los Angeles, California.
Diamond Platnumz

Singer-songwriter Tiwa Savage attends the BET AWARDS '14 at Nokia Theatre L.A. LIVE on June 29, 2014 in Los Angeles, California.

Tiwa Savage

Singer Lil Mama attends the BET AWARDS '14 at Nokia Theatre L.A. LIVE on June 29, 2014 in Los Angeles, California.

Lil Mama

TV personality Judge Greg Mathis (R) and Linda Reese attend the BET AWARDS '14 at Nokia Theatre L.A. LIVE on June 29, 2014 in Los Angeles, California.

Judge Greg Mathis, Linda Reese
Actor Donnivin Jordan attends the BET AWARDS '14 at Nokia Theatre L.A. LIVE on June 29, 2014 in Los Angeles, California.
Donnivin Jordan
kwa picha zaidi bofya soma zaidi

tangazo la kazi la Emirates


Kampuni ya Green Waste Pro Ltd yaadhimisha sherehe ya kutimiza miaka miwili katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa‏‎

1
Mkurugenzi wa Green WastePro Ltd Ndg. Mark Anthony Shayo akizungumza jambo kwenye sherehe ya kutimiza miaka miwili kwa kampuni hii ya kufanya usafi katika jiji la Dar es salaam hususani kwenye manispaa ya Ilala. 2 Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Kheri Kessy akizungumza jambo kwenye sherehe ya maadhimisho ya miaka miwili ya Kampuni ya Green WastePro Ltd kwenye ukumbi wa makumbusho siku ijumaa tarehe 27, 2014. 3 Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Kheri Kessy akizungumza jambo kwenye sherehe ya maadhimisho ya miaka miwili ya Kampuni ya Green WastePro Ltd kushoto ni Mkurugenzi wa Green WastePro Ltd bwana Mark Anthony Shayo na kulia ni afisa Mazingira katika manispaa ya Ilala Mr. Mapunda. 4 Ndg. Said Mazingira wa Kampuni ya Green WastrePro Ltd, akisoma risala kwa mgeni rasmi.

HAPPY BIRTHDAY MWANDISHI MKUU WA MBEYA YETU BLOG JOSEPH MWAISANGO

Mwandishi mkuu wa Mbeya yetu Blog, Joseph Mwaisango

TONE MULTIMEDIA GROUP Ambao ni wamiliki wa Mtandao huu wa Mbeya yetu Blog , Tunapenda Kuungana na wadau wetu wote Kumpongeza Bwana Joseph Mwaisango ambaye ndiye Mwandishi Mkuu wa Blog hii ya Mbeya yetu  na Mmoja wa wakurugenzi wa Tone Multimedia Company Limited (TMCL)  ambao pia ni wamiliki wa Blogs za Mikoa TanzaniaTone Radio-Tz , This Day MagazineStay In Tanzania(Tanzania Tours) , Tone Tube Tz  , Matukio na Wanavyuo na Watanzania waishio nje ya Nchi kwa kutimiza miaka yake kadhaa siku ya Leo.

KITAA WEAR (DUKANI)

Kama umependa KITAA wear

Niibox ili nijue vitu vifuatavyo

1. Namba ya Simu

2. Wapi Ulipo, kama upo Dar utaletewa ulipo ukiishalipia

mkoani tutatuma kwa njia ambayo kwako ni rahisi kukufikia

3. Aina ya T-Shirt , kwenye advert nimeweka number chagua number ya
tshirt uliyoipenda

MRADI MPYA WA SHUGA UNAOELEKEZA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA VVU KWA VIJANA WAANZISHWA KATIKA REDIO JAMII

DSC_0125
Meneja wa kituo cha Sengerema FM Redio, Ndg. Felician Ncheye, akitoa nasaha za ukaribisho kwa washiriki wa mradi wa SHUGA na mgeni rasmi. Katikati ni Mgeni rasmi Mratibu wa UKIMWI halmashauri ya Sengerema mkoa wa Mwanza kupitia mradi wa TACAIDS, Ndg. Geofrey Mabu na Kulia ni Afisa Mipango VVU/UKIMWI UNESCO, Ndg. Herman Mathias.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi wetu, SENGEREMA - MWANZA
Redio za jamii nchini zimeaswa kutumika vizuri katika kuelimisha kamii juu ya kupambana na maambukizi ya virusi vya UKIMWI kupitia vipindi vya redio.
Hamasa hiyo imetolewa na Ndg Geofrey Mabu ambaye ni mratibu wa UKIMWI halmashauri ya Sengerema mkoa wa Mwanza kupitia mradi wa TACAIDS wakati akifungua warsha ya siku tatu ya mradi mpya ujulikanao kama SHUGA, unaotekelezwa na shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kwa kushirikiana Shirika la Mfuko wa Watoto (UNICEF) inayofanyika katika kituo cha Redio Jamii Sengerema mkoani Mwanza.
Mabu amesema kuwa mradi huo umekuja wakati muafaka ambapo malengo yake yakizingatiwa na kutekelezwa kama ilivyopangwa utasaidia kufikia malengo ya serikali ya kupunguza maambukizi ya virusi vya UKIMWI hadi Zero.
DSC_0129
Mgeni rasmi Mratibu wa UKIMWI halmashauri ya Sengerema mkoa wa Mwanza kupitia mradi wa TACAIDS, Ndg. Geofrey Mabu akifungua warsha ya siku tatu ya mradi mpya kuhamasisha Vijana kuhusu udhibiti wa Maambukizi mapya ya VVU ujulikanao kama SHUGA.

WIMBO WANGU WA LEO

MR AND MRS DONALD WA MINNESOTA VIJIMAMBO INAWATAKIA MAISHA YENYE FURAHA NA UPENDO KATIKA NDOA YENU

Bwana Donald na mke wake siku ya harusi yao iliyofanyika huko Kenya, Bwana harusi  ni mwenyeji wa Kenya na Mama ni mwenyeji wa Arusha Tanzania.

MAMBO YA BRAZIL HAYO CHEZEA KINYOZI FERREL WEWEE...

 Tim Howard goalkeeper wa timu ya Marekani picha yake ikichorwa kichwani, mambo haya ni huko Brazil kila mtu alionyesha mapenzi yake kwa mchezaji wa kutoka kwenye timu ya taifa ya nchi yake.
Habari ndiyo hii unaweza kuona sura ya goalkeeper pamoja na bendera ya marekani.

BAADA YA TIMU YA TIFA YA MAREKANI KUFANIKIWA KUINGIA KWENYE MZUNGUKO WA PILI

New York Empire State Building na rangi za bendera ya Marekani ni baada ya timu ya taifa kufanikiwa kuingia mzunguko wa pili kwenye mashindano ya fainali za kombe la dunia. Mashindano hayo yanayofanyika huko Brazil.

HABARI NDIYO HII


We Are Happy From TANZANIA - Pharrell Williams

Sunday, June 29, 2014

With ATL, The Galaxy Is The Limit


AllAfrika Travel and Logistics, llc
12925 Kitchen House Way
Germantown MD 20874
Phone: +1-202-386-6122

Email: info@atlglobalsolutions.com
Website: http://atlglobalsolutions.com
Join Us: http://www.facebook.com/allafrika.travelnlogistics
ATL, The Name You Can Trust For All Your Cargo and Air Ticketing Services !

HAPA NI BAADHI YA TABIA ZA WATU WAZIFANYAZO NDANI YA USAFIRI WA UMMA AMBAZO NI KERO KWA WATU WENGINE.

Juu na chini ni baadhi ya tabia za watu wazifnyazo wanapotukuwa wanatumia usafiri wa umma ambao hua kero kwa watu wengine

DIAMOND AKUBALI MATEKEO YA BET AWARDS 2014 SOMA ALICHO KIANDIKA HUKO INSTAGRAM

"Tusipopenda kukubali Matokeo na Ushindi wa Wenzetu basi Daima Hatutaweza kuwa Washindani....Muhimu ni kujua wapi tulipotoka na Wapi tulipo Leo... Katika Nchi zaidi ya 20 zenye wasanii zaidi ya Million 40, kuchaguliwa Tanzania ni fursa, Heshima na Hatua kubwa... Cha Muhimu ni kuitumia vyema Fursa Hii na Kuhakikisha Mwakani tunapiga Hatua Zaidi!.... Asante sana kwa wote wanaozidi kuni support kwa hali na Mali, Mapambano ndio kwaaaanza yanaanza sasa.....!!!!!!@wcb_wasafi For Life Baby ������"

Diamond alikuwa kwenye kipengele cha BEST AFRICAN ACT , tuzo hiyo imenyakuliwa na msanii Davido kutoka nigeria.

Credit: JG

KISA CHA KIJANA WA CHUO KUCHOMWA MOTO HIKI HAPA

MSIBA SEATTLE NA TANZANIA

Watanzania,

Kwa masikitiko makubwa TanzaSeattle inawatangazia kwamba wenzetu dada Rachel Samanyi na kaka Alex Ruhumbika wamepatwa na msiba wa mzazi wao Mzee Robert Magafu Samanyi (baba yake mzazi Rachel na baba mkwe wa Alex,) kilichotokea Dododma Tanzania, asubuhi ya tarehe 26 June, 2014. Marehemu anategemewa kuzikwa nyumbani kwao Mara, Musoma. Marehemu alikuwa anasumbuliwa na Prostate cancer na brain tumor.

Kwa wakazi wa Seattle, WA na vitongoji vyake, msiba upo nyumbani kwa Rachel na Alex Ruhumbika

7908 110th ave SE
#405
Newcastle, WA 98056

Rachel: 425-974 0054

Mauaji yaelekezwa CCM

  Mwenyekiti wake Butiama apigwa risasi na kufa
  Polisi wanaofukuzwa kazi wahofiwa kuchochea uhalifu
Mauaji ya kutumia bunduki yanayoshamiri nchini, yameelekezwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambapo Mwenyekiti wa chama hicho katika kata ya Busambala, wilaya ya Butiama mkoani Mara, ameuawa.

Kuuawa kwa kiongozi huyo wa CCM, Willison Opiyo (60) kumetokea takribani siku tano baada ya mtawa wa Kanisa Katoliki, parokia ya Makoka jijini Dar es salaam, Sista Clecensia Kapuli (50), kuuawa kwa kupigwa risasi.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mara, Dk Samson Winani, amethibitisha  kuwa mwili wa marehemu Opiyo umefikishwa na kuhifadhiwa kwenye hospitali ya mkoa iliyo mjini Musoma.

Kwa mujibu wa Dk. Winani, taratibu za uchunguzi na masuala mengine yatakayohitaji ushiriki wa madaktari, vitafanyika baada ya vikao na uamuzi kati ya ndugu ya marehemu na jeshi la polisi waliomfikisha hospitalini hapo.

Kama ilivyokuwa kwa Sista Kapuli, kifo cha Opiyo kinaelezwa kusababishwa na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi.

Mbali na Sista Kapuli na Opio, kumekuwapo matukio kadhaa ya watu kuuawa kwa kupigwa risasi, huku kukiwa hakuna matokeo ya kuridhisha katika jitihada za kukabiliana na tatizo hilo.

Taarifa za awali zinaeleza kuwa majambazi hao, yalimpiga Opiyo risasi moja kichwani na ‘kukisambaratisha’.

Mauaji hayo yalifanyika majira ya  usiku wa jana, ambapo majambazi hao yalivunja mlango wa nyumba aliyokuwa amelala kiongozi huyo na familia yake huko katika kijiji cha Kwikuba.

Afisa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Mkoa (RCO) wa Mara, Kamishna Msaidizi wa Polisi Robert Mlashan, alisema majambazi hao walivunja milango miwili ya nyumba hiyo, kisha kupiga risasi tatu ambapo moja ilimpata kichwani kiongozi huyo wa CCM  na kufa papo hapo.

PICHA YA LEO

UCHAGUZI WA VIONGOZI SIMBA WAFANYIKA LEO

Wanachama wa Simba wakiwa katika Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa Viongozi wa Klabu ya Simba katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo. (Picha na Francis Dande)
 Wanachama wakihakiki kadi zao.
Mgombea wa Makamu wa Rais wa Klabu ya Simba, Godfrey Nyange 'Kaburu' akizungumza na baadhi ya wanachama kabla ya uchaguzi.
Mgombea akiomba kura......Tukiwezeshwa tunaweza.
 Mgombea akijinadi.