
Diamond Platnumz

Tiwa Savage

Lil Mama

Judge Greg Mathis, Linda Reese

Donnivin Jordan

Nadine Ellis

Kierra "KiKi" Sheard

Zendaya Coleman

Tony Rock

Kenya Moore

Kem

Ledisi

Karrueche Tran

Ne-Yo

Louis Gossett Jr.

Viviana Vigil

Terri Seymour

Keke Palmer

Tinashe

B.J. Britt

Holly Robinson Peete

Tamera Mowry-Housley

Jennifer Freeman

Raven Goodwin

Erica Hubbard

Landon Asher Barker, Alabama Luella Barker, Musician Travis Barker

Latarsha Rose

Bobby Jones

Adrian Marcel

Raven Goodwin

Jeannie Mai

Ghetts

Jennia Fredrique

Bria Murphy

Shayne Murphy

Lynne Harris Taylor

Nhlanhla Nciza

Stephen Bishop

Nate Parker, Gugu Mbatha-Raw

Sevyn Streeter

Christian Keyes


Sage the Gemini

Joyful Drake

Yo Gotti

Tatyana Ali

Nelly

T.I.

Eva Marcille

Claudia Jordan

Nadia Buari

Margaret Avery

Faith Evans

Taye Diggs, Amanza Smith Brown

Lolo Jones


Paris Hilton

John Legend

Kevin Hart, Eniko Parrish

Lionel Richie

Ashanti

Yolanda Adams
8 comments:
jama anavalishwa kama kikaragosi yani hawa madesigner wake wakoje watu wanamechiwa mavazi mtizame yeye kavaa kiatu cha brown suruali blue koti tafauti etc
namuonea huruma sana huyu diamond na yeye ndo burulaaaz wakupitiliza basi kila anachofanyiwa yeye kwake sawa watu wanachota pesa zake yeye kinabaki na ushamba wake wa tandale na manzese
sad sad sad wacha watafune pesa zako kama uko mjinga hivi
Hongera diamond. ila hawa watu wa BET wameniuziii. kuwapa wenzao wa africa awards kwa corridor kama siyo ubaguzi ni nini! they are sitting there talking about racism and civil right movements yet they treat fellow africans like left overs! thats BS! watu wamesafiri thousands of miles kuja kupokelea kienyeji tu, wameniboaaa!
Hongera diamond. ila hawa watu wa BET wameniuziii. kuwapa wenzao wa africa awards kwa corridor kama siyo ubaguzi ni nini! they are sitting there talking about racism and civil right movements yet they treat fellow africans like left overs! thats BS! watu wamesafiri thousands of miles kuja kupokelea kienyeji tu, wameniboaaa!
We jamaa unayezungumzia mavazi ndio mshamba,mbona watu kibao tu walivaa ovyo na walishiriki poa tu,kama pharrel wiliams alivaaje sasa, acha chuki bana noma hiyo
Salamu anonymous wa kwanza. Mbona watanzania tuna Chuki sana, ndio maana hatuendelei, hebu tujaribu kuiga mifano mizuri kwa wenzetu kama Wa west, Kenyans na kadhalika . Hebu niambie pamoja Diamond kuvaa huko kubaya unavyosema wewe, amependeza hajapendeza? Mimi binafsi sioni kibaya amependeza sana, na amepatia kwa uvaaji Wa hapa marekani. Please , please tujaribu kuacha chuki binafsi, tuungane, tuuombeane ili Yesu atakapokuja tuwe katika hali kumpendezesha yeye, Amen.
huko
Hongera sana Diamond kwa kazi nzuri ya kuipeperusha bendera yetu na mungu akujalie uzidi kufika mbali ,but unabidi upumzike ule vizuri unafanya kazi sana na una safiri sana kwenye ndege kiafya sio vizuri utakuja kuumwa yani mpaka sasa hadi usoni unaonekana umechoka umekonda hauna nuru nzuri hela zitakuwepo tuu lakini angalia afya yako vilevile ni muhimu baba ukiumwa apo ao wapambe wako wote watakukimbia na kukusema kwani yeye mwenyewe alikua ajijui anaitaji kupumzika huo ni ushauri wangu kila whitney waliziacha hela na kina michael jackson kumbuka .
wewe anon wa kwanza inaonekana fashion ilikupita pembeni. hizo hapo ndo fashion za siku hizi za ku-mix mix. hivi unadhani ma-fashion designer wake hawakujua wanachokifanya?
Huyo mropokaji anaemsema diamond wa manzese. ..mannasako
Post a Comment