Kamati ya Uchaguzi ya Simba imemuondoa kabisa Michael Wambura katika
mchakato wa uchaguzi wa Simba kwa madai kuwa amevunja taratibu za
uchaguzi.
Akiongea
na waandishi wa habari leo mchana katika ukumbi wa Serengeti, JB
Belmonte Hotel jijini Dar, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi wa Simba Dr.
Damas Ndumbaro amesema
Kamati hiyo imeeleza kuwa TFF haina mamlaka kikatiba kusimamisha
uchaguzi wa Simba kwa hiyo uchaguzi huo utaendelea kama ulivyopangwa
kufanyika June 29 mwaka huu.
No comments:
Post a Comment